Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo ilianzishwa kwa Tangazo la Serikali Namba 1 la Januari, 2016. Katika kutekeleza majukumu yake kikamilifu, Wizara kimuundo imegawanyika katika maeneo makuu mawili ambayo ni :
i. Usimamizi na utekelezaji wa masuala ya kisekta
ii. Uendeshaji, uratibu na usimamizi
USIMAMIZI NA UTEKELEZAJI WA MASUALA YA KISEKTA
Eneo hili linatekelezwa na Idara ya Idara ya Maendeleo ya Utamaduni,Idara ya Maendeleo ya Sanaa na Idara ya Maendeleo ya Michezo kwa ushirikiano na Taasisi zilizopo chini ya Idara hizo.
UENDE... ....Read More
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro amekutana na kufanya mazungumzo na... ... Read More
Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Hamis Mwinjuma amesema Serikali inaendelea na m... ... Read More
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro ameitaka T... ... Read More